Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Zahera ataja Siri ya ushindi Yanga

Zahera Piccc Data Zahera ataja Siri ya ushindi Yanga

Sat, 25 Sep 2021 Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz

MKURUGENZI wa ufundi Yanga, Mwinyi Zahera amesema siri ya ushindi katika kikosi hicho ni morali ya kutosha kwa wachezaji.

Zahera ambaye alikuwa kocha mkuu katika kikosi hicho amerejea tena hivi karibuni na kupewa cheo Cha ukurugenzi wa ufundi.

Akizungumza na Mwanaspoti baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Simba, Zahera amesema;"Umoja wa viongozi na morali kwa wachezaji ndio Siri ya ushindi."

Zahera amesema wachezaji ndio wanastahili pongezi baada ya kufanya vizuri.

Akizungumzia urejeo wake amesema;"Wananchi wajue mimi ni Zahera mpya."

Chanzo: www.mwanaspoti.co.tz