Wed, 15 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
AL-Ittihad ya Saudi Arabia imewasilisha ofa kwa wawakilishi wa winga wa Crystal Palace, Wilfried Zaha ili kuipata huduma yake baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu.
AL-Ittihad ya Saudi Arabia imewasilisha ofa kwa wawakilishi wa winga wa Crystal Palace, Wilfried Zaha ili kuipata huduma yake baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu. Al-lttihad imetuma ofa ya mshahara wa Pauni 9 milioni kwa mwaka. Bado hakuna mwafaka kati ya Palace na Zaha juu ya mkataba mpya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live