Tue, 3 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Man United ikiikaribisha Galatasaray leo Jumanne katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA).
Nyota mpya wa Klabu ya Galatasaray na mchezaji wa zamani wa Man United Wilfred Zaha amechimba mkwara kwa wapinzani wao kuelekea mchezo huo.
Akizungumza Zaha amesema;
“Tuna timu yenye uzoefu mkubwa. Tuko tayari kwa mechi ya leo. Tuna wachezaji wanaoweza kuidhuru Manchester United.” Amesema Wilfried Zaha
Je, unahisi ni kweli Galatasaray watafanikiwa kuichapa Man U?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live