Mon, 8 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mkabaji Yusuph Kagoma amejiunga na Simba SC kwa Mkataba wa miaka mitatu akitokea Singida Fountain Gate.
Kiungo Mkabaji Yusuph Kagoma amejiunga na Simba SC kwa Mkataba wa miaka mitatu akitokea Singida Fountain Gate. Taarifa ya Simba SC inaeleza kuwa “Kagoma ni moja ya vijana wazawa wenye uwezo mkubwa wa kuzuia timu ikishambuliwa na kupandisha mashambulizi”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live