Sat, 29 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia inajipanga kuwasilisha ofa ya euro milioni 45 kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Sevilla na Morocco, Youssef En-Nesyri.
Klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia inajipanga kuwasilisha ofa ya euro milioni 45 kwa ajili ya kuinasa saini ya mshambuliaji wa Sevilla na Morocco, Youssef En-Nesyri. En-Nesyri (26) anatarajiwa kutia kibindoni mshahara wa euro milioni 15 (zaidi ya Tsh bilioni 40) na huenda akaungana na Mreno Rubén Neves, Mserbia Milinković-Savić na Msenegal Kalidou Koulibaly.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live