Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yaya Toure atabiri mshindi AFCON

Skysports Yaya Toure Man City 5535276 Yaya Toure

Fri, 29 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kiungo wa zamani wa Barcelona na Man City, Yaya Touré atoa utabiri wake wa Timu za Taifa zenye nafasi ya kushinda kombe la Mataifa barani Afrika AFCON 2024 Nchini Ivory Coast.

Yaya ambae ni raia wa Ivory Coast amezitaja timu tano ambazo anaona zina nafasi ya kufanya kweli mwakani.

Yaya ametaja mataifa kama;

Ivory Coast

Senegal

Morocco

Guinea-Bissau

Africa Kusini.

Unadhani Yaya Toure yuko sahihi? Tupe maoni yako

Chanzo: www.tanzaniaweb.live