Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yassine Bounou golikipa wa Al Hilal ya Saudia ameibuka kuwa Golikipa bora msimu wa 2023/24.
Yassine Bounou golikipa wa Al Hilal ya Saudia ameibuka kuwa Golikipa bora msimu wa 2023/24. Bounou ameisaidia klabu yake kutwaa taji la Ligi hiyo huku yeye akicheza michezo 31 sawa na dakika 2782, huku akipata clean sheets 15!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live