Mon, 20 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa Young Africans Kouassi Attohoula Yao (26) na Pacöm Zouzoua (26) waliitembelea timu yao ya Taifa ya Ivory Coast usiku wa jana katika dimba la Mkapa kuelekea kwenye mechi yao ya leo ya Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 dhidi ya Gambia.
Wachezaji wa Young Africans Kouassi Attohoula Yao (26) na Pacöm Zouzoua (26) waliitembelea timu yao ya Taifa ya Ivory Coast usiku wa jana katika dimba la Mkapa kuelekea kwenye mechi yao ya leo ya Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 dhidi ya Gambia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live