Thu, 2 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jeshi la Wananchi wa Jangwani Yao kouassi Attohoula, Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Yanga.
Yao anaweza kulinda upande mmoja wa jangwa peke yake. Atakufanya ushike kichwa kwa masikitiko au kwa mshangao.
Amejaa tele kule pembeni...!Pumzi, kasi, maarifa, maji...Top assist provider kwenye NBC mpaka sasa.
Yao ni miongoni mwa sajili za Yanga zilizoanza na moto wa hali ya juu ndani ya kikosi hicho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: