Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Yanga SC imempa pole mtani wake wake wa jadi Simba SC baada ya kutolewa na Al Ahly ya nchini #Misri kwenye mashindano ya AFL.
Yanga imetoa pole hizo kupitia #comments katika chapisho la timu Simba SC, ikiandika kuwa "Pole sana mtani, hata sisi tulikosa Ubingwa wa Afrika kwa kanuni hiyohiyo".
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: