Sat, 19 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2021/2022, Timu ya Yanga imeendelea kuwaasa Mashabiki wake kuwa watulivu viwanjani dhidi ya Mashabiki wa Timu Pinzani.
Hatua hiyo inakuja wiki moja tu baada ya Mashabiki wake kushambuliwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa Mechi ya Simba dhidi ya ASEC Mimosas.
Tazama hapa chini Taarifa ya Yanga;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live