Kikosi cha Klabu ya Yanga kimeshatua katika ardhi ya mkoa wa Kagera tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya dhidi ya wenyeji wao Kagera Sugar. Mchezo huo utapigwa majira ya Saa 1:00 Usiku katika uwanja wa Kaitaba.
Kikosi cha Klabu ya Yanga kimeshatua katika ardhi ya mkoa wa Kagera tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya dhidi ya wenyeji wao Kagera Sugar. Mchezo huo utapigwa majira ya Saa 1:00 Usiku katika uwanja wa Kaitaba. Mashabiki wa Yanga mkoa wa Kagera wameipokea timu yao kutoka uwanja wa ndege uliopo Manispaa ya Bukoba baada ya kikosi kuwasili leo mchana kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2024-25 dhidi ya Kagera Sugar utakaochezwa kesho Agosti 29-2024 kwenye dimba la Kaitaba mkoani Kagera.