Mon, 1 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imetangaza kuwa kilele cha tamasha lao la Siku ya Mwananchi (Yanga Day) kwa msimu huu itakuwa tarehe 04/08/2024 katika Dimba la Mkapa.
Tamasha hilo ni maalum kwa ajili ya kutambulisha wachezaji na benchi la ufundi ambao wataunda kikosi cha timu hiyo kuelekea msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live