Uongozi wa Yanga umeshusha bei za viingilio katika mechi yao dhidi ya Azam FC ambayo imehamishiwa Uwanja wa Mkapa kutoka Azam Complex ambapo viingilio vya awali vilikuwa mzunguko Sh10,000 , VIP B Sh20,000 na VIP A Sh30,000 na sasa mzunguko ni Sh5,000 , VIP B 10,000 na VIP A ni Sh20,000.
Uongozi wa Yanga umeshusha bei za viingilio katika mechi yao dhidi ya Azam FC ambayo imehamishiwa Uwanja wa Mkapa kutoka Azam Complex ambapo viingilio vya awali vilikuwa mzunguko Sh10,000 , VIP B Sh20,000 na VIP A Sh30,000 na sasa mzunguko ni Sh5,000 , VIP B 10,000 na VIP A ni Sh20,000. Mechi hiyo itapigwa saa 12:30 jioni.