Thu, 18 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga inachakata majina mawili ya beki wa kati ambayo watachukua nafasi ya Gift Fred.
Lauren Makame Maarufu kama Canavaro mwenye aina ya uchezaji kama Ibrahim Bacca, anaongoza katika mbio hizo.
◉ Lauren Makame - 60%
◉ Abdulmajid Mangalo - 40%.
Gamondi amevutiwa zaidi na uchezaji wa bwana mdogo huyu kutoka klabu ya Singida Fountain Gate kutokana na umahiri wake kucheza mipira ya juu, chini, Tackles na accuracy nzuri ya kupiga pasi na umri wake mdogo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live