Mon, 29 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabao ya Prince Dube, Stephane Aziz Ki na Clement Mzize yametosha kuipa Yanga ushindi wa 0-4 katika mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki (Toyota Cup) dhidi ya Kaizer Chiefs inayonolewa na Kocha Nassredine Nabi.
Ushindi huo kwa Yanga, unamkaribisha Kocha wake wa zamani, Nabi katika Klabu ya Kaizer Chiefs.
FT: Kaizer Chiefs 0-4 Yanga
⚽ Prince Dube ⚽Aziz KI ⚽Mzize ⚽Aziz KI
Chanzo: www.tanzaniaweb.live