Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya wananchi Yanga SC kupitia kwa rais wao Injia Hers Said wamechangia Tsh Milioni tano kwa Professorjayfoundation ili kupeleka tabasamu na kusaidia wagonjwa wa figo nchini.
Timu ya wananchi Yanga SC kupitia kwa rais wao Injia Hers Said wamechangia Tsh Milioni tano kwa Professorjayfoundation ili kupeleka tabasamu na kusaidia wagonjwa wa figo nchini. Hafla ya uzinduzi wa taasisi hiyo ilifanyika jana Desemba 10, 2023 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live