Mon, 2 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Wydad Casablanca walitenga zaidi ya Shilingi Billion 5 za kitanzania kwaajili ya Kunasa saini za wachezaji wawili wa Yanga SC lakini Yanga wamekataa Ofa hiho kwa kusema ni ndogo haitoshi.
Wydad waliandaa Dollar Million 2 (500,000) kwa mzize na (1,500,000) kwa Aziz Ki ofa ambayo Yanga wameikataa.
Klabu ya Yanga inataka Dollar million 4 (Billion 11) ili iweze kuwaachia Mastaa hao wawili kwa Wydad.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live