Sat, 16 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imewajulisha mashabiki, wapenzi na wapenda mpira kuwa mechi yao dhidi ya Azam FC, ambayo ilikuwa ichezwe Jijini Arusha Oktoba 30, katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.
Yanga katika taarifa yake iliyotoka Oktoba 15 imesema mchezo huo utachezwa kwa Mkapa Dar es Salaam, huku ikiwa haijaweka wazi sababu zilizopelekea kubadilishwa kwa ratiba iliyokuwepo awali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live