Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC kimeondoka leo kuelekea Visiwani Zanzibar na ajili ya fainali ya Kombe la Shirikisho la NBC.
Kikosi cha mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC kimeondoka leo kuelekea Visiwani Zanzibar na ajili ya fainali ya Kombe la Shirikisho la NBC. Yanga ambao pia ni mabingwa watetezi wa kombe la Shirikisho watakipiga na Azam kwenye fainali hiyo itakayopigwa Jumapili, Juni 2, mwaka huu katika Uwanja wa New Amaan Complex, Visiwani Zanzibar, saa 2:15, usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live