Sat, 20 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wenyeji wa mchezo wa leo wa Derby ya Kariakoo, Yanga Sc wamesusia vyumba vya kubadilishia nguo kutokana na hali ya vyumba hivyo.
Wananchi wameripotiwa kuweka wazi kuwa huenda isiingizie timu kwenye vyumba vya kubadilishia Nguo kwa madai vyumba hivyo vimepigwa dawa.
Pichani ndio sehemu yao ya vyumba vya kubadilishia nguo inavyo onekana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live