Wed, 22 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga SC wameendeleza umwamba kwenye ligi hiyo baada ya kuisasambua Dodoma Jiji FC 4-0 kwenye mchezo wa muendelezo wa ligi hiyo
Kiungo nyota Aziz Ki alipachika mabao mawili kwenye ushindi huo na kufikisha mabao 17 kwenye vita vya kusaka.
Dodoma Jiji 0️⃣-4️⃣ Yanga SC
Clement Mzize ⚽️
Stephanie Ki Aziz ⚽️⚽️
Maxi Nzengeli ⚽️
Ki Aziz sasa (Magoli 17) ampita Feisal Salum wa Azam FC (Magoli 16) kwenye mbio za kuwania kiatu cha ufungaji bora wa Ligi Kuu Bara zikiwa zimesalia mechi mbili kukamilika kwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live