Sun, 31 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yanga SC wameanza mbio za Kombe la Mapinduzi kwa kumtandika Jamhuri 5-0 katima mechi yao ya kwanza ya ufunguzi wa mashindano hayo.
Mechi hiyo ambayo Yanga aliuwasha zaidi na kuonesha ana wachezaji bora imepigwa kwenye Uwanja wa Amaani Visiwani Zanzibar.
Magoli ya Yanga yalifungwa na Crispine Ngushi (2), Skudu Makudubela, Kibwana Shomari na Crement Mzize.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live