Mon, 20 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga SC imealikwa Bungeni Jijini Dodoma na mwenyeji wao Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk. Damas Ndumbaro, Mei 23.
Klabu ya Yanga SC imealikwa Bungeni Jijini Dodoma na mwenyeji wao Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk. Damas Ndumbaro, Mei 23. Waziri Ndumbaro amewaita Yanga SC siku hiyo ambayo ndiyo atakuwa akiiwasilisha Bajeti ya Wizara yake katika Bunge hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live