Tue, 4 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chanzo cha Africa Soccer Zone kimetaja orodha ya timu zilizoonesha uwezo mzuri wa kucheza kwa msimu huu wa 2023/2024.
Katika orodha hiyo hakuna timu ya Simba SC inayojitafuta upya hivi sasa, huku Yanga SC wakishika nafasi ya tatu katika orodha ya timu 10 bora.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live