Sat, 2 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kimewasili leo nchini kikitokea Misri kwenye mchezo wa mwisho hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly na kufungwa bao 1-0.
Kikosi cha Yanga kimewasili leo nchini kikitokea Misri kwenye mchezo wa mwisho hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly na kufungwa bao 1-0. Yanga imefuzu hatua ya robo fainali ya michuano hiyo baada ya kumaliza nafasi ya pili kundi B huku Ahly akiongoza kwa pointi 12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live