Thu, 11 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga kimewasili Dar es Salaam kikitokea Dodoma kwenye mchezo wa 16 bora wa Kombe la Shirikisho la CRBD walipoisambaratisha Dodoma Jiji Fc 2-0 na kutinga hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo.
Kikosi cha Yanga kimewasili Dar es Salaam kikitokea Dodoma kwenye mchezo wa 16 bora wa Kombe la Shirikisho la CRBD walipoisambaratisha Dodoma Jiji Fc 2-0 na kutinga hatua ya Robo Fainali ya michuano hiyo. Kituo kinachofuata ni mkoani Mwanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Singida Fountain Gate utakaopigwa Aprili 14, Uwanja wa CCM Kirumba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live