Wed, 20 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kufuatia ajali waliyopata Mashabiki wa Namungo wakati wakiwa njiani kwenda kutazama mechi ya Yanga dhidi ya Namungo.
Ajali hiyo imetokea wa kuamkia leo katika eneo la Miteja karibu na Somanga mkoani Lindi na kuchukua roho za Mashabiki wanne huku majeruhi ni 16 wamepelekwa katika kituo cha afya Tingi wilayani Kilwa kupatiwa matibabu.
Soma Taarifa ya Yanga kwa kirefu hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: