Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga wasaka Straika Sauzi

Cape Town City S Khanyisa Mayo Celebrates After Scoring Against Chippa United.jpeg Khanyisha Mayo

Thu, 14 Mar 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Vilabu vya Yanga na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kunako klabu ya Cape Town City kuulizia Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo.

Vilabu vya Yanga na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kunako klabu ya Cape Town City kuulizia Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo. Mayo kwa sasa ndiye mfungaji kinara wa ligi ya Dstv ya Afrika kusini akiwa tayari kishafunga magoli 11 msimu huu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: