Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vilabu vya Yanga na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kunako klabu ya Cape Town City kuulizia Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo.
Vilabu vya Yanga na Kaizer Chiefs Vimebisha hodi kunako klabu ya Cape Town City kuulizia Kuipata huduma ya mshambuliaji wao Khanyisha Mayo. Mayo kwa sasa ndiye mfungaji kinara wa ligi ya Dstv ya Afrika kusini akiwa tayari kishafunga magoli 11 msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: