Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kama mambo yatabaki kama yalivyo basi klabu ya Yanga itamsajili MVP wa AS Maniema wa Msimu 23/24, Basiala Agee (25).
Basiala Agee (25) ndiye kinara wa Assists katika klabu ya AS Maniema ndani ya ligi kuu ya Congo DR kwa msimu wa 23/24.
Basiala pia ni mfungaji bora namba mbili (2) akiwa na magoli 6 ndani ya klab yake ya As Maniema katika ligi kuu ya Congo DR iliyoshika nafasi pili (2) nyuma ya TP Mazembe na kufuzu CAF Champions League.
Agee Basiala pia ametajwa kwenye orodha ya kikosi bora cha msimu cha ligi kuu ya DR Congo cha Msimu huu 23/24.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live