Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi Master Tindwa amesema Yanga SC leo wana mechi ngumu dhidi ya CR Belouzdad huko nchini Algeria.
“Yanga watakuwa na mchezo mgumu sana leo, ukiangalia wakati ligi kuu huku imesimama kupisha mechi za timu za Taifa kule Algeria ligi ilikuwa inachezwa.
“Mfululizo wa utulivu utawapa shida sana Yanga, lakini uzoefu wa Yanga kwa misimu hii utawapa utulivu kiasi Yanga.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live