Sat, 26 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mashabiki wa Yanga wamekuwa na utaratibu wa kusimama na kupigia makofi benchi la ufundi, Uongozi na wachezaji kwa ujumla kwa kitendo cha kutimiza michezo 48 pasipo kupoteza mchezo wa Ligi.
Sasa kwa kawaida Mashabiki wa Yanga walitakiwa kusimama dakika ya 48, lakini kupitia Afisa Habari wao Ally Kamwe amesema leo hawatasiamama lakini kuna jambo kubwa litatpkea mwisho wa mchezo.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, ally Kamwe ameandika;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live