Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga imekamilisha usajili wa kiungo Shekhan Ibrahim Khamis (18) kutoka JKU.
Shekhan amesaini mkataba wa miaka mitatu kukipiga kwa Mabingwa hao mara mbili mfululizo wa Tanzania Bara.
Shekhan alikuwa sehemu ya kikosi cha Zanzibar kilichoshiriki CECAFA U18 mwaka huu 2023 pale Kenya
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: