Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kesho Jumatatu Young Africans watakipiga na Azam Fc katika dimba la Mkapa.
Mechi hii inaenda kufanyika ikiwa imebeba mabao 17 katika mechi 6⃣ za mwisho walizokutana
Yanga 2-0 Azam (Ngao ya Jamii)
Yanga 1-0 Azam (Fainali ya ASFC)
Azam 2-3 Yanga (NBC)
Yanga 2-2 Azam (NBC)
Azam 1-2 Yanga (NBC)
Yanga 2-0 Azam (NBC)
Mara ya mwisho Azam Fc kuifunga Yanga ni Aprili 25, 2021 walipoibuka na ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Prince Dube dakika ya 86 katika dimba la Mkapa.
Hii mechi ina kisasi ndani yake, haijawahi kuwa rahisi.
Sitaki kusimuliwa kabisa nitakuwepo kwa Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live