Yanga SC na Azam FC watacheza fainali ya (3) ndani ya misimu (3).
◉ Yanga 1 - 0 azam - (FA)
◉ Yanga (7) 0 - 0 (6) Azam - (FA)
◉ Yanga ? - ? Azam - (Ngao).
Yanga, Azam na Coastal Union wametengebeza trend ifuatayo ...
21|22 Azam alipoteza dhidi ya Coastal Union kwenye nusu fainali (FA), Fainali wakacheza Yanga na Coastal ›› Bingwa akawa Yanga.
22|23 Azam alicheza nusu fainali (FA) dhidi ya Coastal Union akashinda, Fainali Azam akacheza na Yanga. Yanga akatwaa Ubingwa.
22|23 Azam alicheza nusu fainali (FA) dhidi ya Coastal Union, Azam akashinda, Fainali Azam akacheza na Yanga Zanzibar. Yanga akatwaa Ubingwa.
23|24 Azam FC amecheza nusu fainali (Ngao) dhidi ya Coastal Union, Azam ameshinda (5_2), Fainali Azam atacheza na Yanga.