Mon, 12 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, Timu ya Yanga hatimae imeshusha pumzi baada ya leo Disemba 12 makundi kuwekwa hadharani.
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika, Timu ya Yanga hatimae imeshusha pumzi baada ya leo Disemba 12 makundi kuwekwa hadharani. Yanga walitinga hatua hiyo baada ya kuiondosha Club Africain kutoka Tunisia imepangwa kundi D, sambamba na timu za TP Mazembe (DR Congo), US Monastir (Tunisia) , Real Bamako (Mali).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live