Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga mabingwa wa Safari Cup

Yanga Safari 0002 Yanga mabingwa

Sat, 29 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa.

FT: Safari Champions 1️⃣➖4️⃣ Yanga SC

⚽️ Omary Mfaume dakika ya 1

⚽️ Shekhan Ibrahim dakika ya 11

⚽️ Prosper Moses Samwel dakika ya 44

⚽ Hussein Ibrahim dakika ya 50.

Safari Champions ni kikosi ambacho kilipatikana kupitia programu maalum iliyoendeshwa na TBL ambayo ilitafuta vijana wenye vipaji kutoka mikoa mbali mbali na kufanikiwa kuunda timu yenye wachezaji 25.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live