Fri, 29 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amethibitisha kuwa atawakosa wachezaji muhimu wasiopungua watatu kuelekea kwenye mechi yao ya CAF CL dhidi ya Mamelodi Sundowns kutokana na majeraha.
Gamondi amewataja Khalid Aucho, Attohoula Yao, Kibwana Shomari na Pacome Zouzoua kama wachezaji ambao wapo shakani kucheza mechi hiyo.
Pia Gamondi amethibitisha kuwa Aziz KI hajarejea hivyo hajui kama atarudi akiwa salama au la.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: