Mon, 24 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Yanga chini ya kocha wao mkuu Miguel Gamondi kitarejea leo mazoezini pale Avic Town - Kigamboni mara ya baada ya mapumziko mafupi kwa wachezaji waliopewa hapo Jana.
Kikosi cha Yanga chini ya kocha wao mkuu Miguel Gamondi kitarejea leo mazoezini pale Avic Town - Kigamboni mara ya baada ya mapumziko mafupi kwa wachezaji waliopewa hapo Jana. Kikosi cha Yanga jana kilicheza mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya Kaizer Chiefs katika Uwanja wa Benjamin Mkapa
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: