Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga kumpa "Thank You" beki huyu Januari

Gift Fred Gd Beki wa Yanga, Gift Fred

Tue, 5 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January.

Klabu ya Young Africans itaachana na beki wake wa kati raia wa Uganda Gift Fred kwenye dirisha dogo la mwezi January. Nyota huyo amekuwa hapati namba kwenye kikosi cha Yanga tangu alipojiunga na kikosi hicho kwenye dirisha kubwa la usajili msimu huu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: