Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu, Yanga wanarudi kazini leo. Kocha wao mpya Miguel Gamondi atakutana na mastaa wake leo tayari kuseti mitambo tayari kwa kuliamsha dude.
Yanga hawaendi Ulaya kama wenzao Simba, watakuwa kwenye kambi pale Avic Town, Kigamboni lakini tambua kutakuwa na sura mpya.
Baadhi ya mastaa wapya ni Nickson Kibabage, Gift Fred, Jonas Mkude na Maxi Nzegeli Mpia wanazungumzwa kuwa wataripoti sambamba na wenzao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: