Fri, 5 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika michuano ya Kimataifa Klabu ya Yanga ilifanikiwa kutikisa miji mikubwa barani Afrika na kupata ushindi ugenini,Orodha ya Miji mikubwa ambayo imetikiswa na Yanga ni hii ifuatayo
Yanga 1-0 Club Africain
Mji wa Tunis (Tunisia)
Yanga 1-0 Tp Mazembe
Mji wa Lubumbashi (DR Congo)
Yanga 2-0 Rivers Utd
Mji wa Uyo (Nigeria)
Yanga 2-1 Marumo
Mji wa Polokwane (A Kusini)
Yanga 1-0 USM Alger
Mji wa Algiers (Algeria)
Mamelodi vs Yanga?? Je Yanga watautikisa Mji wa Pretoria kwa kuwafunga Mamelodi Sundowns na kuwatoa Robo Fainali CAFCL?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live