Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga imewaongezea kandarasi nyota hawa, wanaosepa orodha iko hapa

Hersi Na Aziz Ki Yanga imewaongezea kandarasi nyota hawa, wanaosepa orodha iko hapa

Thu, 4 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Yanga imewaongeza mikataba wachezaji wake wafuatao:

◉ Djigui Diarra - Mali

◉ Kibwana Shomari - Tanzania

◉ Bakari Mwamnyeto - Tanzania

◉ Khalid Aucho - Uganda

◉ Pacome Zouzoua - Ivory Coast

◉ Farid Mussa - Tanzania

◉ Stephane Aziz Ki - Burkina faso

◉ Jonas Mkude - Tanzania

◉ Clement Mzize - Tanzania

◉ Nickson Kibabage - Tanzania

◎ Aboutwalb Mshery - Tanzania (Bado).

Wachezaji ambao wamemaliza mikataba na hawataongezewa mikataba mipya:

◎ Joseph Guede - Ivory Coast

◎ Zawadi Mauya - Tanzania

◎ Metacha Mnata - Tanzania

◎ Skudu Makudubela - Tanzania

◎ Okrah - Ghana (Mkataba umesitishwa).

◎ Joyce Lomalisa - Congo DR.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live