Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga SC imewasiliana na uongozi wa Klabu ya Teungueth ya nchini Senegal wakihitaji huduma ya kiungo mkabaji wa klabu hiyo, Bonaventure Fonseca Bonito.
Mchezaji amevutiwa na Yanga SC yuko tayari kujiunga nao kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika nchini Senegal.
Klabu ya Yanga imepanga kutuma ofa rasmi muda wowote kuanzia sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live