Sat, 18 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Uganda Khalid Aucho amefungiwa mechi tatu na kutozwa faini ya laki tano na bodi ya Ligi kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Coastal Union Ibrahim Ajibu.
Yanga pia imekutana na rungu la Million 5 kwa kosa la kuingilia geti lisilo rasmi wakati wa mchezo dhidi ya Simba huku Simba ikitozwa Million 1 kwa kosa la wachezaji wake kuchelewa kutoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Je, Yanga bila Aucho itatoboa?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: