Sat, 8 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano na upande wa mchezaji Mohammed Zougrana raia wa Ivory Coast baada ya kukamilika kwa mazungumzo na klabu yake ya Asec Mimosas
Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza kuwa, Mohammed Zougrana mwenye umri wa miaka 20 amekubali kujiunga na klabu ya Yanga SC.
Hata hivyo, uongozi wa Yanga upo tayari kukamilisha usajili huu kwa gharama yeyote.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: