Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Yanga, Simba zapigwa faini 5-1

Gamondi Yanga Yake Yanga, Simba zapigwa faini 5-1

Fri, 17 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Shilingi 5,000,000 (milioni tano) kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo uliowakutanisha Simba na Yanga kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 5, 2023.

Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Shilingi 5,000,000 (milioni tano) kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi katika mchezo wa Derby ya Kariakoo uliowakutanisha Simba na Yanga kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Novemba 5, 2023. Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la wachezaji wake kuchelewa kutoka nje ya chumba cha kuvalia, jambo lililosababisha mchezo huo kuchelewa kuanza kwa dakika nne (4).

Chanzo: www.tanzaniaweb.live