Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga Princess imemtangaza mshambuliaji Faiza Seidu raia wa Ghana kutumikia klabu hiyo kwa msimu huu 2023/2024.
Klabu ya Yanga Princess imemtangaza mshambuliaji Faiza Seidu raia wa Ghana kutumikia klabu hiyo kwa msimu huu 2023/2024. Katika Ligi Kuu ya Ghana kwa upande wa wanawake Faiza ameshika nafasi ya tatu ya ufungaji akimaliza msimu na mabao 15.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: