Wed, 13 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Semaji la CAF, Ahmed Ally limesema, ubora walionao JKT Queens na Yanga Princess ni ardhi na mbingu.
Ahmed ametoa kauli hiyo jana Desemba 12, 2023 mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa Simba Queens na JKT Queens ambapo Simba waliibuka na ushindi wa penalti 5-4.
"Huwezi kuwalinganisha hawa JKT Queens na nyuma mwiko Princess (Yanga Princess), hawa JKT ni bora zaidi na hawa sisi ndio washindani wetu kwenye ligi," alisema Ahmed.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live