Thu, 18 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Mshambuliaji wa Yanga, Yacouba Songne amerejea nchini kutokea nchini Tunisia alipokwenda kufanyiwa upasuaji.
Yacouba aliumia katika mechi dhidi ya Namungo na baadae taarifa zilitoka kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji na akapelekwa nchini Tunisia.
Tazama Video akiwasili uwanja wa ndege
Chanzo: www.tanzaniaweb.live